Monday, 20 June 2016

Yanga yachapwa naMO Bejaia ya Algeria


Usiku wa Jumapili June 19, Yanga ilipoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya shirikisho Afrika mbele ya MO Bejaia ya Algeria na kudosha pointi tatu .
Yassin Sahli ndiye aliyewapa machungu wanajangwani dakika ya 20 tu pale alipoifungia timu yake bao bekee kwenye mchezo huo lililodumu kwa dakika zote za mchezo huo.

No comments:

Post a Comment