Mke
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli, Mke wa
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Mary Majaliwa na
Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mh. Godfrey Zambi wakiwa katika picha ya Pamoja na
jamii ya watu wenye ulemavu leo asubuhi Ikulu ndogo Mkoani Lindi.
PICHA NA HASSAN SILAYO-MAELEZO
No comments:
Post a Comment