Kupitia tangazo hili Waombaji
kazi wote waliotangaziwa kuitwa kwenye usaili kwa tangazo hilo
wanafahamishwa kuwa usaili huo umeahirishwa mpaka watakapotangaziwa tena
hapo baadaye.
Kwa Matangazo ya nafasi za kazi
yaliyotolewa mnamo tarehe 6 Mei, 2016, 11 Mei, 2016, 18 Mei, 2016 na
tarehe 26 Mei, 2016 nayo waombaji kazi watakaokidhi vigezo watataarifiwa
hapo baadae kuhusu mchakato wake unavyoendelea.
Aidha, Kupitia tangazo hili,
Sekretarieti ya Ajira kwa niaba ya Serikali inaomba radhi waombaji kazi
wote waliowasilisha maombi na wale waliokuwa wamejiandaa kuhudhuria
usaili huo kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.
Imetolewa na
X.M. DAUDI
KATIBU
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma.
No comments:
Post a Comment