Juventus walivyorejea
Baada ya kupoteza kwa kufungwa kwa mabao 4-1 dhidi ya Real Madrid
katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Juventus wamerejea nyumbani
Italia.
Pamoja na kuukosa ubingwa, mashabiki walionekana kuwapongeza wakiwapungia mkono kuonyesha bado wanawapa heshima kubwa.
No comments:
Post a Comment