
Hayo yamesemwa leo (jumatano) na Kaimu Mkurugenzi wa tume hiyo Dk Stephen Nindi wakati wa uwasilishwaji wa taarifa iliyotekelezwa na PFP katika vijiji 19 vya mradi wa kutumia picha hizo.
Amesema mpango huo utapunguza migogoro ya ardhi ya muda mrefu na kuwa na mipango bora ya matumizi ya ardhi kwa vijiji nchini.
Dk Nindi amesema ni hatua nzuri ya utekelezaji wa teknolojia hiyo na kwamba wananchi watafaidika nayo kwa kutambua mipaka yao halisi na kuona kiasi gani cha ardhi kimetumika na matumizi yake husika.
No comments:
Post a Comment