Wednesday, 5 October 2016

Habari Picha

gere1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na Askari Magereza wa Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga baada ya kulitembelea Oktoba  5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augusine Mrema, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma na aliyekaa kushoto ni Mkuu wa Magereza wa mkoa wa Dodoma, SACP Kirumbi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mofisa wa Magereza wakati alipotembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga  mjini Dodoma Oktoba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na Askari Magereza wa Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga baada ya kulitembelea Oktoba  5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augustine Mrema, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Jordan Rugimbana  na aliyekaa kushoto ni Mkuu wa Magereza wa mkoa wa Dodoma, SACP Kirumbi. Aliyekaa kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christina Mndeme. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere4
gere5 gere6
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoka kwenye Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga wakati alipolitembelea mjini Dodoma Oktoba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere8
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Maofisa na Askari Magereza wa Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga baada ya kulitembelea Oktoba  5, 2016. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Taifa wa Parole Augustine Mrema, kulia kwake ni Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Jordan Rugimbana  na aliyekaa kushoto ni Mkuu wa Magereza wa mkoa wa Dodoma, SACP Kirumbi. Aliyekaa kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Christina Mndeme. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere9
Askari Magereza wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kati alipowasilimia baada ya kutembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma Isanga mjini Dodoma Oktoba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
gere10
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mofisa wa Magereza wakati alipotembelea Gereza Kuu la Mkoa wa Dodoma la Isanga  mjini Dodoma Oktoba 5, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment