Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Hamad Masauni akipokea maelezo kutoka kwa Afisa Ardhi na
Maliasili wa Wilaya ya Ngorongoro Bw.Sixsbert Byorusheng kuhusu mpaka
wa Tanzania na Kenya uliopo kijiji cha Olaika, Loliondo Wilayani
Ngorongoro wakati wa ziara yake ya kukagua usalama wa mipaka ya nchi
ambapo Idara ya Uhamiaji inatarajia kujenga kituo ili kudhibiti usalama
na mapato ya sereikali katika eneo hilo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Hamad Masauni akiangalia kwa kutumia darubini mpaka wa
Tanzania na Kenya uliopo kijiji cha Olaika, Loliondo Wilayani Ngorongoro
wakati wa ziara yake ya kukagua usalama wa mipaka ya nchi. Idara ya
Uhamiaji inatarajia kujenga kituo ili kudhibiti usalama na mapato ya
sereikali katika eneo hilo.Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro
Mhe.Rashid Taka
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Hamad Masauni akizungumza na wakazi wa kata ya
Soitisambu,Tarafa ya Loliondo Wilayani Ngorongoro wakati wa ziara yake
ya kukagua usalama wa mipaka ya nchi wilayani humo ambapo Idara ya
Uhamiaji inatarajia kujenga kituo ili kudhibiti usalama na mapato ya
sereikali katika eneo hilo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Mhe. Hamad Masauni akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
wakazi wa kata ya Soitisambu,Tarafa ya Loliondo Wilayani Ngorongoro
wakati wa ziara yake ya kukagua usalama wa mipaka ya nchi wilayani humo
ambapo Idara ya Uhamiaji inatarajia kujenga kituo ili kudhibiti usalama
na mapato ya sereikali katika eneo hilo.
(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi).
No comments:
Post a Comment