Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akimsalimia Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali David Msuguri wakati
alipokwenda kwenye hospitali ya Jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam
kuona wagonjwa baada ya kushiriki sala ya Iddi El Haji kwenye uwanja wa
Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
mkewe Mary (kulia) wakimjulia hali Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali
David Msuguri wakati walipokwenda kwenye hospitali ya Jeshi ya Lugalo
jijini Dar es salaam kuona wagonjwa baada ya kushiriki sala ya Iddi El
Haji kwenye uwanja wa Mwembe Yanga, Temeke jijini Dar es salaam Septemba
12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na
mkewe Mary (kulia) wakiwajulia hali wagonjwa wakati walipokwenda
kwenye hospitali ya Jeshi ya Lugalo jijini Dar es salaam kuona wagonjwa
baada ya kushiriki sala ya Iddi El Haji kwenye uwanja wa Mwembe Yanga,
Temeke jijini Dar es salaam Septemba 12, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
No comments:
Post a Comment