Wabunge wapewa Vitambulisho vya utaifa leo Dodoma
W
aziri wa Katiba na na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe, akiwa mwenye
furaha kubwa baada ya kuchukua Kitambulisho chake kipya Bungeni Dodoma.
NIDA imeanza kutoa vitambulisho vipya vyenye saini kwa viongozi wakiwemo
Waheshimiwa Wabunge zoezi linaloedelea mkoani Dodoma sambamba na kikao
cha Bunge.
Deo Sanga, akieleza faida ambazo tayari ameshazipata kwa kutumia
Kitambulisho chake cha Taifa. Kushoto ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano na Hifadhi hati NIDA Bi, Rose Mdami. Mhe. Sanga amepokea
kitambulisho chake leo katika Ofisi za Bunge Dodoma
W
abunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakipata huduma kutoka kwa maafisa
wa NIDA ambao wapo bungeni hapo kutoa vitambulisho vipya kwa waheshimiwa wabunge Mjini Dodoma.
M
bunge wa Muheza na Mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na Usalama ya Bunge
Mheshimiwa Adadi Rajabu akipokea kitambulisho chake kutoka kwa Kaimu
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Hifadhi Hati NIDA Bi. Rose Mdami
katika Ofisi za Bunge Mjini Dodoma.
No comments:
Post a Comment