Utafiti mpya umebaini kuwa asilimia 96 ya wananchi wanamkubali Rais John Pombe Magufuli.
Taasisi ya Twaweza jana ilitoa utafiti huo ambao ulibaini zaidi kuwa asilimia 58 ya wananchi hao hawapingia kitendo chochote cha Rais.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza kwenye utafiti uitwao Rais wa Watu? Tathmini na matarajio ya wananchi kwa serikali ya awamu ya tano. Muhtasari huu unatokana na takwimu kutoka Sauti za Wananchi.
No comments:
Post a Comment