Alikuwa akizungumza alipokutana na rais Recep Tayyip Erdogan kandokando ya mkutano wa G-20 mjini Hangzhou nchini China.
Uturuki inadai kuwa kiongozi wa dini mwenye makao yake huko Marekani Fethullah Gulen ndiye aliyepanga njama ya mapinduzi hayo na inataka arudishwe nchini Uturuki.
Bwana Gulen amekana kuhusika na jaribio hilo.Rais Obama na Erdogan pia walizungumzia kuhusu hali ilivyo nchini Syria.
No comments:
Post a Comment