Friday, 9 September 2016

Msafara wa Makamu wa Rais Samia Suluhu umepata ajali

 Image result for MTWARA
Nanguruwe  Msafara wa Makamu wa Rais Samia Suluhu umepata ajali baada ya gari moja kupinduka, watu 4 wajeruhiwa, hamna vifo.
- Majeruhi wamepelekwa katika Hospitali ya Mkoa wa Mtwara, Ligula.

No comments:

Post a Comment