Friday, 9 September 2016

Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imeiamuru NHC kutouza mali za Mbowe

 
Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi imeiamuru NHC kutouza au kupiga mnada mali za Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe mpaka kesi ya msingi itakapomalizika.
- Katika kesi hiyo, Jaji amesema kuwa, anakubaliana na maombi ya mlalamikaji na kutaka mali hizo zisiuzwe hadi hapo mahakama itakapofanyia uamuzi kesi ya msingi.

No comments:

Post a Comment