Saturday 29 April 2017

leo Antony Joshua Na Wladimir Klitschko Kuzichapa Wembley Stadium

Mashabiki wa masumbwi duniani wanasubiri kwa hamu pambano la uzito wa juu kati ya bondia chipukizi wa wingereza Antony Joshua dhidi ya mkongwe Wladmir Klitschko mchezo utakao chezwa Leo katika uwanja wa Wembley.
kuelekea mchezo huo mabondia hao walipata fursa ya kuongea na waandishi wa habari na pia zoezi la kupima uzito kuelekea pambano lao la kuwania ubingwa wa uzito wa juu wa dunia.





No comments:

Post a Comment