Rais Magufuli amemteua Eliya Ntandu kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe. Pia amewateua Wakurugenzi 13 wa Halmashauri mbalimbali.
- Mtangazaji wa kipindi cha 360 cha Televisheni ya Clouds, Hudson Kamoga ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbulu.
No comments:
Post a Comment