Wapigaji kura katika mji mkuu wa wa Roma nchini Italia, wamemchagua mwanamke wa kwanza kuwa meya wa mji huo.
Virginia Rajji wa vuguvugu la 5 Star, amemshinda mpinzani wake Roberto Giachetti katika kura ya marudioBwana Giachetti, ni mfuasi wa chama cha demokrasia cha mrengo wa kati-kushoto, chake waziri mkuu wa bw Matteo Renzi, ambacho pia kilipoteza kiti cha umeya katika mji wa Turin, huku wagombea wa chama chao wakishinda viti vya umeya katika miji ya Milan na Bologna.
No comments:
Post a Comment