Saturday 20 May 2017

Mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

muse1
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akilakiwa na Waziri wa NIshati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam
muse2
Rais wa Uganda Mh. Yoweri Museveni akisalimiana  na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo wakati alipowasili kwenye uwanja wa Ndege wa Mwalimu J. K. Nyerere tayari kwa kuhudhuria mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC)unaofanyika leo tarehe 20/ 5/ 2017 Ikulu jijini Dar es salaam

No comments:

Post a Comment