Saturday 9 December 2017

Jeshi la Israel lashambulia maeneo matatu Ukanda wa Gaza

Jeshi la anga la Israel lashambulia mapema asubui maeneo matatu tofauti katika Ukanda wa Gaza.
Katika mashambulizi hayo yaliolenga Kusini mwa Gaza, mpalestina mmoja mwenye umri wa kati ya maika 20 na 30 ameripotiwa kufariki.
Majira ya jioni Ijumaa jeshi la Israel lilishambulia Kaskazini mwa Gaza na kuwajeruhi watu 15.

No comments:

Post a Comment