Wednesday 25 January 2017

ufunguzi rasmi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.

AWU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop wa kwanza kulia wavivuta kitambaa kuashiria ufunguzi rasmi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam. Wengine katika picha ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais –TAMISEMI George Simbachawene pamoja na  Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa.
AWU 1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais –TAMISEMI George Simbachawene na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa wakati Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop wakwanza (kulia) akivuta utepe kuashiria Ufunguzi rasmi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.
AWU 2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiweka kadi ya Kieletroniki katika Mashine ya UDART ilikuweza kupita kama ishara ya Ufunguzi rasmi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais –TAMISEMI George Simbachawene akimuelekeza jambo katika mashine hizo.
AWU 3
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop pamoja na viongozi wengine wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.
AWU 4
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipita kwenye mashine hizo mara baada ya uzinduzi wa Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.
AWU 6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwa wanahabari mara baada ya kuzindua utoaji huo wa huduma ya usafiri.
AWU 8
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia mara baada ya kuendesha gari la Mwendo Kasi katika kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Haraka (BRT) mara baada ya kufungua rasmi Awamu ya Kwanza ya Miundombinu na Utoaji Huduma ya Mabasi yaendayo Haraka katika jiji la Dar es Salaam.
AWU 9
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipungia mkono pamoja na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop mara baada ya kutoka kukagua moja ya basi linalotumika katika utoaji huduma ya Usafiri wa Haraka (BRT)
AWU 10
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo pamoja na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop wakati Msanii Mrisho Mpoto alipokuwa akitumbuiza.
AWU 11
 Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika Makhtar Diop akimtunza msani Mrisho Mpoto wakati alipokuwa akitumbuiza katika kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo Haraka BRT-Kariakoo huku Rais Dkt. Magufuli akifurahia. PICHA NA IKULU

Na DaudiManongi-MAELEZO.
RaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe.Dkt.JohnPombeMagufuliameagizakujengwakituokikubwa cha kupakimagarinakituo cha daladalailikuwawezeshawananchiwanaotumiamagaribinafsikupakiKimaramwishonakutumiausafiriwamwendokasiilikupunguzamsongamanowamagarikatikaJiji la Dar es salaam.
RaisMagufuliametoawitohuoleoJijini Dar es Salaam alipokuwaakizinduaAwamuya Kwanza yaMiundombinunaUtoajiwaHudumayaMabasiYaendayoHaraka (BRT) katikaKituoKikuu cha MabasikilichopoKariakooeneola Gerezani.
“Witowangunikwambakunawatuwengiwanamagarimadogomadogonawanatokasehemumbalimbalimpakakufikakituo cha Kimaramwishonakunaeneokubwa pale la hifadhiyabarabaraambalohalihitajihatakulipafidiailikulitumia,wananchiwanaonaadhayafoleniiliyopolakinihawanasehemuyakupakimagariyaoiliwatumiemagariyamwendokasi,nawaombamjengekituo cha magarimadogomadogoeneohili la Kimarailiwananchihawawafaidikevyemanamradihuu”,aliongezaRaisMagufuli.
AidhaRaisMagufuliametoawitokujengwakwakituo cha mabasiyadaladalakatikaeneo la Kimaramwishoilikuwasaidiawananchiwanaofikakatikakituo chamagariyamwendokasikutopatashidayakuunganishamagariyakwendaMbezinasehemunyinginezaJijikwaniwatakuwanakituorasmi.
AwaliakizungumziamradihuuRaisMagufulialisemakuwailiwachukuaabiriakusafirikwazaidiyamasaamatatukutokaKimarampakapostalakinikukamilikakwamradihuukumesaidiakurahisishaabiriakufikakituo cha Posta kwakutumiadakika 30 mpaka 40nahivyomradihuukuwakichocheokikubwa cha uchumikatikamaeneombalimbaliyaJiji la Dar es Salaam.
Alisemakuwakukamilikakwamradihuuwaawamuya kwanza wenyekilometa 20.9 umetumiajumlayashilingibilioni 403.5 ambapo Tanzania imechangiabilioni 86.5 naBenkiyaDuniawametukopeshabilioni 317.
 
Amesemakuwakukamilikakwaawamuya kwanza kumekuwachachuyakuanzakwaawamuyapiliambayoitajengwakuanziaGerezanimpakaMbagalaambapompakakufikiaawamuyasitakutalifanyaJiji la Dar es Salaam kuwa la kisasanasalamazaidinahivyokuwaJijikuu la Biashara.
RaisMagufuliamewatakawatanzaniakutumiavyemamiundombinuyamabasiyaendayoharakanapiamaderevawamagarimadogokuzingatiasheriakwakutotumianjiahizo.
RaisMagufuliametoashukranikwaBenkiyaDuniakwaushirikianowaomkubwakatikakufanikishamradihuunamiradiminginenchininakuwatakakusaidiakatikakufanikishamradiwakujengwakwabarabarazajuukatikaeneo la Ubungo na wale wotewanaohusikakatikakupatamkandarasiwafanikisheharakasualahiloilikusaidiamabasiyaendayoharakakupitakwaurahisinahivyokutimizadhanahalisiyamabasihayo.

No comments:

Post a Comment