Monday 30 January 2017

Mv Kigamboni yaendelea kutoa Huduma ya Usafiri katika Jiji la Dar es salaam

KIV1
Abiria wakipanda katika kivuko cha Mv. Magogoni kinachotoa huduma ya usafiri kati ya Ferry na Magogoni, leo Jijijini Dar es salaam.
KIV2
Abiria wakishuka kutoka katika kivuko cha Mv. Kigamboni kinachotoa huduma ya usafiri kati ya eneo la Magogoni na Feri, leo Jijijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment