Sunday 29 January 2017

Cesc Fabregas,Kelvin De Bruyne na Andre Iniesta ni wachezaji waliopiga Pasi nyingi

Cesc Fabregas,Kelvin De Bruyne na Andre Iniesta ni wachezaji wanaosifika kupiga sana pasi.Lakini msimu huu hawapo hadi sasa katika orodha ya waliopiga pasi nyingi.Lakini Paul Pogba,Herrera na Henderson ni wachezaji waliopo kwenye listi hii.Hembu tuone wachezaji 10 waliopiga pasi nyingi katila ligi 5 kubwa barani Ulaya.

10.Benjamin Andre.
Timu Rennes
Pasi alozopiga  1181
Pasi za kwenda mbele 671
Nafasi alizotengeneza 22
Assist 2

9.Ander Herrera
Timu Man United.
Pasi alizopiga 1185
Pasi za kwenda mbele 691
Nafasi alizotengeneza 25
Assist 3

8.Marco Verrati.
Timu Psg.
Pasi alizopiga 1192
Pasi za kwenda mbele 719
Nafasi alizotengeneza 22
Assist 2

7.Malang Sarr
Timu Nice.
Pasi alizopiga 1237
Pasi kwenda mbele 953
Nafasi alizotengeneza 3
Assist 1

6.Thiago Alcantara.
Timu Bayern Munich
Pasi alizopiga 1258
Pasi kwenda mbele 727
Nafasi alizotengeneza 25
Assist 3.

5.Wylan Cyprien
Timu Nice.
Pasi alizopiga 1260
Pasi za kwenda mbele 729
Nafasi alizotengeneza 23
Assists 3

4.Paul Pogba
Timu Manchester United.
Pasi alizopiga 1271
Pasi za kwenda mbele 760
Nafasi alizotengeneza 41
Assists 3

3.Marek Hamski
Timu Napoli.
Pasi alizopiga 1477
Pasi za kwenda mbele 713
Nafasi alizotengeneza 45
Assist 7

2.Jordan Herndeson
Timu Liverpool.
Pasi alizopiga 1533
Pasi za kwenda mbele 926
Nafasi alizotengeneza 28
Assists 4

1.Thiago Motta
Timu PSG
Pasi alizopiga 1623
Pasi za kwenda mbele 1148

Nafasi alizotengeneza 10
Assists 0

No comments:

Post a Comment