Wednesday 25 May 2016

Wema Sepetu anaumia kukosa mtoto




Wema ni staa wa filamu aliyejizolea heshima za kutosha kutokana na umahiri wake katika kazi, lakini staa huyo ‘analia’ na kukosa mtoto.


Wasanii wenzake na baadhi ya mashabiki wamekuwa wakimpa faraja kila kukicha kuhusiana na swala hilo.

“Iko siku na mimi ntaitwa Mama” ameandika kupitia ukurasa wake wa Instagram akiambatanisha na picha aliyokumbatiana na mama yake.

No comments:

Post a Comment