Tuesday 31 May 2016

Wakazi Dar waanza kunufaika naTeknolojia ya moovn kwa Usafiri



 
Suala la ukuaj iwa teknolojia ulimwenguni limeendelea kuthibitisha kuwa ni suala m tambuka kutokana na kukua kwake kwa kasi ya ajabuikiwa ni pamoja na kugusa takribani sekta zote katika ulimwengu wa leo.


Hapo awali mtu angeweza kuelewa kwa kifupi zaidi kwamb asuala la teknolojia pengine lingewahusu sekta ya Mawasiliano peke yake na hasa wale ambao shughuli zao za kila siku zinategemea matumizi ya vitu kama Kopyuta na simu hasa zile za mikononi. 

Pengine katika ukanda wanchi za dunia ya tatu wameanza kusikia suala la ukuaji wa teknolojia katika miongo ya hivi karibuni Lakini suala hili limesikika zaidi ya karne moja katika nchi zilizoendelea na matumizi yake yamekuwa ya kuambukiza siku hadi siku. Suala la utandawazi limechangia kwakiasi kikubwa kuenea kwa teknolojia mbalimbali duniani na sasa kuonekana sikitu cha nchi zilizoendelea pekeyake bali ni kwa mataifa yote.

Hiini kwa sababu mataifa machangayamekuwayakifanywamitajimikubwa kwa mataifa makubwa yenyenguvu za kiuchumi duniani kutokana na utajiri wa raslimali walizonazo.

 Ujio wao katika mataifa machanga umepelekea kuongezeka kwa kasi kwa matumizi ya teknolojia mbalimbali ili kurahisishautendaji, usimamizi na uzalishaji katika sehemu mbalimbali za kazi. 

Matumizi kama ya vikokotoleokatikamahesabu ni teknolojiaambayoimeonekana kuwa shahidi wa jinsi gani kazi za “gazijuto” zimewezakurahisishwa. Matumizi ya wavuti, barua pepe, tarakilishi, nukushi na vingine vyovingi katika maofisi mbalimbali ni ushahidi mwingine wa jinsi gani teknolojia imeendelea kushika hatamu katika s hughuli zetu za leo.

 Uwepo wa mitandao ya simu na uwezekano wa kufanya Ankara na miamala ya kifedha ni vitu vilivyopokelewa kwa hisia hasi sana katika mataifa machanga Lakini leotunashuhudia umuhimu wake na fikra za watumiaji zimeendelea kubadilika na kuwa chanya juu ya uwepo wa huduma hizi na teknolojia yake.

Badala ya kuandika barua nakuipeleka posta kisha  mtumiwajia kaipokea mwezi mmoja baadaye sasa watu wanatumia barua pepe au kuchat kwa njia ya mitandao mbalimbali na ujumbekumfikia kila mmoja kwa muda usiozidi hata dakika moja.

Wanadamu wameendelea kuwa wabunifu kila leo na kuja na matokeo mapya yenyetija na ufanisi wa hali ya juu. Hakuna fan iiliyokosa teknolojia yake mpaka sasa hata kama haijafika Tanzania Lakini ipo sehemu Fulani inatumika na watu wanafaidi.



Kampuni ya Moovn Technologies Tanzania Limited imeingianchinina jambo jipyalenyetija na ufanisi kwa watakaotumiateknolojiayake. Teknolojia ya Moovn inamuwezesha Mteja kupata Usafiri bila kutoaj asho, wala haipotezi muda wakujadili gaharama zake Kutoka ulipo mpaka pale uendapo.

 Mteja amerahisishiwa huduma na kuhakikishiwa usalama wake wakati wote. Mara tu baada ya kuingia katika chombo cha Usafiri gharama zitaanza kuhesabika na utakapokuwa umefika mwisho wa safari utahitajika kuangalia simu yako ya mkononi na utakuwa umejua ni kiasi gani cha fedha dereva wako anapaswa kulipwa kwa huduma aliyoitoa kwako.

Huduma hii imekuwanimkombozimkubwa sana kwa dereva wa Teksi, Bajaji na Bodaboda kwani haimhitaji kuwapo kutuoni pake kwa muda mrefubila kazi. Kwa maneno mengine teknolojia hii mpya hapa nchini inamfanya dereva aongeze kipato chake maradufu, ilikujiunga sharti dereva awe na simu ya kisasa “Smartphone” na anachopaswa kufanya baada ya kujiunganisha na hudumahii ni kuhakikisha simu yake wakati wote inachaji ya kutosha kuwasiliana na wateja wake.

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Moovn Technologies Tanzania Bw. Godwin Ndugulile akizungumza na FOFAM MEDIA amesema tayari wamekwisha kuwasajili zaidi wa madereva 8600 wanaotumia vyombohivivya Usafiri na kuwapa elimu ya uendeshaji na faida zake.

Bwana Ndugulile amesema teknolojia hii imefanya kazi vizuri katika mataifa mengine ya UlayanaMarekani na sasa yeye ameona ni vyema aileteteknolojia hii nyumbani Tanzania Kutoka marekani kwani ameona italeta manufaa makubwa sana kwa watumiaji.
 

No comments:

Post a Comment