Saturday 25 November 2017

Rais al Sisi aahidi adhabu kali kwa waliohusika Shambulio la Msikiti Sinai

Rais wa Misri Abdel Fatah al Sisi aahidi adhabu kali kwa magaidi waliohusika na ashambulizi dhidi ya mskiti lililopelekea vifo vya watu zaidi ya 230  Sinai

Rais wa Misrii Abdel Fatah al Sisi ameahidi adhabu kali kwa magaidi waliohusika na shambulizi walilotekeleza  katika mskiti wakati wa kutekelezwa ibada ya Ijumaa.
Watu 235 walifariki na wengine zaidi ya 130 kujeruhiwa katia shambulizi lililolenga mskiti wa al Arish unaopatikana Sinai nchini Misri.


Jeshi la Polisi litatoa jibu linalostahili kwa waliotekeleza shambulizi hilo.

No comments:

Post a Comment