Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiongea machache kwenye hafla ya kuaga
mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika
viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Sehemu ya wafiwa kwenye hafla
ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe wakitoa heshima zao za mwisho
na kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe wakiwapa pole wafiwa baada ya
kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na mkewe wakiwapa pole wafiwa baada ya
kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho na
kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli
katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga
mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika
viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwapa pole wafiwa baada ya kuaga
mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas Magufuli katika
viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17, 2016
Makamu wa Rais Mstaafu Dkt
Mohamed Gkalib Bilali, Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Eng. John Kijazi na
Meya wa Jiji la Dar es salaam Mhe. Isaya mwita wakitoa heshima zao za
mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt. Didas
Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo Oktoba 17,
2016
Mama Salma Kikwete akitoa pole
kwa wafiwa baada ya kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani Dkt.
Didas Magufuli katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo
Oktoba 17, 2016
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, Rais Mstaafu Dkt Jakaya Mrisho kikwete
na viongozi wengine wakiwa jukwaa kuu katika shughuli ya kutoa
heshima za mwisho na kuaga mwili wa Meya wa Dar es salaam wa zamani
Dkt. Didas Masaburi katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam leo
Oktoba 17, 2016
No comments:
Post a Comment