fofam-media

ad

ad

Pages

  • MWANZO
  • HOTELI NA UTALII
  • ELIMU
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAZINGIRA
  • KILIMO
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI

Saturday, 14 May 2016

Rais wan Rwanda Paul Kagame amekana kuwasaidia waasi nchini Burundi


 
Rais wa Rwanda Paul Kagame amekana madai yaliotolewa na Umoja wa Mataifa kwamba Taifa lake linaendelea kuwasaidia waasi katika nchi jirani ya Burundi.

Bw Kagame amesema kuwa tatizo la Burundi linatoka ndani ya nchi hiyo, na sio nje.
Burundi imekabiliwa na mgogoro mbaya wa kisiasa tangu rais Pierre Nkurunziza kuamua kupigania muhula mwengine mwaka uliopita.

Ni mwaka mmoja kamili tangu Rais Nkurunziza kuepekua jaribio la mapinduzi.
Rwanda ilikana madai kama hayo kuhusu kuwaunga mkono waasi katika ripoti ya awali ya Umoja wa Mataifa mnamo mwezi Februari.

Bw Kagame amekosoa wachapishaji wa ripoti hiyo ambayo inatarajiwa kuwasilishwa katika Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa baadaye,ikisema mda wake ungetumika vyema kuangazia matatizo yanayokumba mataifa badala ya kuyazidisha.

 

Pierre Nkurunziza na Banki Moon
Ripoti hiyo iliopatikana na chombo cha habari cha Reuters imeishtumu Rwanda kwa kutoa Mafunzo pamoja na usaidizi wa kifedha kipindi chote cha mwaka 2016 kwa waasi wanaolenga kumuondoa madarakani rais Pierre Nkurunziza.
Posted by FOFAM MEDIA at 22:38
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Labels: MWANZO

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Search This Blog

My Blog List

adv

adv
HARBOUR VIEW

MEZANI

MEZANI
UKABILA NI DHAMBI YA UBINAFSI

KULA DONA KWA AFYA YA MWILI WAKO

KULA DONA KWA AFYA YA MWILI WAKO
NAMBA YA SIMU 0784300020

food reserve

food reserve
national food reserve agency

kalonga kasati Blogger

kalonga kasati Blogger
0718684043 Email.kalongakasati@gmail.com

EQUITY BANK

EQUITY BANK
HATUMI BANDO

ungana nasi kwenye facebook

  • FOFAM FASHION
  • FOFAM CONSULTING
  • FOFAM AGRIOROJETS INITIATIVE
  • FOFAM FOOD LOGIC
  • FOFAM MEDIA

Je, wajua.......?

  • ... kwamba McDonald Mariga ni mchezaji wa mpira kutoka Kenya ambaye anaichezea kilabu cha Parma.
  • ... kwamba Ngorongoro imepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO?

AGITF

AGITF
AGITF

library

library

TAFUTA BLOG HII

WALIOTEMBELEA

Followers

MACHAPISHO MAPYA


Recent Posts Widget

YALIYOSOMWA ZAIDI

  • Madhara ya kula Mayai mabichi
      Mayai ni moja ya vyakula vyenye viini lishe muhimu kwa ajili ya afya ya mwili wa binadamu. Kwa kawaida mayai kabla ya kuliwa, huandali...
  • Jinsi ya kuandika barua ya kuomba kazi
    Je ulishawahi kuandika barua ya maombi ya kazi na kutuma kwa waajiri wengi na wote au wengi ya hao hawakukujibu hata kama unaj...
  • Huzuni zatawala Mazishi ya Kinyambe Mkoani Mbeya
    Jeneza likiwa limebeba mwili James Kinyambe maarufu kama Kinyambe aliyefariki jana Mkoani mbeya 
  • Ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Mkoani Njombe
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa mpira wa shule ya sekondari ya Mpechi mjini Njombe Januari ...
  • Wanafunzi wa Lucky Vincent Nursery na primary school 32 wapoteza Maisha ajali ya costa wilayani Karatu
      Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha  katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.   kuwa basi hilo lilikuwa...

MAKTABA YETU

  • ►  2018 (3)
    • ►  April (3)
  • ►  2017 (3012)
    • ►  December (134)
    • ►  November (191)
    • ►  October (227)
    • ►  September (307)
    • ►  August (287)
    • ►  July (269)
    • ►  June (275)
    • ►  May (206)
    • ►  April (247)
    • ►  March (303)
    • ►  February (263)
    • ►  January (303)
  • ▼  2016 (3981)
    • ►  December (336)
    • ►  November (353)
    • ►  October (366)
    • ►  September (417)
    • ►  August (447)
    • ►  July (413)
    • ►  June (376)
    • ▼  May (425)
      • Magazeti ya leo Jumatano Juni 1 2016
      • Waamuzi wanne kutoka Gabon kuchezesha mechi ya Tai...
      • Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Ma...
      • Katibu mkuu wa wizara ya afya azindua baraza la wa...
      • Wakazi Dar waanza kunufaika naTeknolojia ya moovn ...
      • Maadhimisho ya Siku ya kupinga matumizi ya tumbak...
      • Wanafunzi wa Chuo cha Dar es salaam wamegoma kushi...
      • Serikali kutumia mfumo wa Tehama kuwesha watu kupa...
      • Rashford kusalia Man United hadi 2020
      • Kesi dhidi ya mkewe Gbagbo yaanza Ivory Coast
      • Mgogoro kuhusu sherehe ya siku ya uhuru Kenya
      • Ukawa watoka nje ya bunge kutokana kutokuwa na ima...
      • Majaliwa amewataka wataalamu wa mambo ya malikale ...
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefungua mkutano wa ‘...
      • Bodi ya ushauri ya wakala wa ufundi na umeme wakag...
      • Balozi Herbert Mrango akagua Kivuko cha Mv Magogoni
      • Zlatan Ibrahimovic kutua man kumeingiliwa na bundi
      • Raymond WCB alishiriki kuandika nyimbo ya AY Zigo
      • Diego cota njia nyeupe Vicente calderon
      • Magazeti ya leo Jumanne Mei 31 2016
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awasili Jijini Arusha
      • Rais Dkt. Magufuli amemteua Mhe. Anne Semamba Maki...
      • Wanawake nchini Kenya Wameandamana Waume zao kushi...
      • Javier Alejandro Mascherano ajiunge na Jose Mourin...
      • Uganda kukata uhusiano na Korea Kaskazini
      • Musa mchezaji bora wa mwezi mei Vodacom
      • Uzinduzi wa matukio ya siku ya msanii kwa mwaka 2016
      • Dawasco
      • Bungeni leo yaliojiri leo
      • Alexander Gauland adaiwa kutoa matamshi ya kibaguzi
      • Mchezaji wa Mexico aliyetekwa nyara aokolewa
      • Suala la wanafunzi wa Udom limezua kizazaa bungeni...
      • Donald Trump amewahutubia waendesha Pikipiki
      • Mpatanishi mkuu wa muungano wa upinzani nchini Syr...
      • Juuko Murshid kuungana na wachezaji 19
      • Rio Ferdinand huenda kuingia benchi la ufundi la M...
      • Magazeti ya leo Jumatatatu Mei 3o 2016
      • Basi la Mwendo kasi Lapata ajali Eneo la Magomeni...
      • India yaahidi kuwalinda waafrika
      • Umoja wa mataifa wataka vijana kuwa mfano wa kuigw...
      • Madrid bingwa
      • Jukumu la kuwainua watoto wa kike ni la kila mmoja...
      • Magazeti ya leo Jumapili Mei 29 2016
      • Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingi...
      • Afya
      • Mkutano wa Trump wakabiliwa na ghasia
      • Korea Kaskazini itashambulia meli yoyote kutoka Ko...
      • asilimia 90 ya wananchi wanahudumiwa na mahakama
      • Maisha Plus kuonekana Azam tv
      • Waamuzi watatu wa soka kutoka Uganda, ndio wakaoch...
      • Serengeti Boys mfano kuigiwa katika nchi za Afri...
      • Magazeti ya leo Jumamosi Mei 28 2016
      • Mourinho rasmi Manchester United
      • Chumba anacholala Dereva Tax kimeleta kizazaa
      • Yanga inajiandaa na uchaguzi
      • Rais Obama atembelea mji Hiroshima
      • Waliochiliwa huru Uganda wakamatwa tena
      • Sherehe ya Mult choice ilivyofaana jiji Dar es salaam
      • Matukio ya bungeni leo
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua vituo vya mab...
      • RC aitaka NHIF kuwa wabunifu ili kuongeza wanachama
      • Rais Dkt John Pombe Magufuli amekutana na Rais mst...
      • Kongamano la kuunga mkono Serikali kuifanya kibiti...
      • Magazeti ya leo Ijumaa Mei 27 2016
      • Rais Dkt John Magufuli amekagua mitambo ya magari ...
      • TTCL wazindua huduma ya 4G LTE
      • Ibrahimovic kuungana na Mourinho Old Trafford
      • Kampuni ya teksi ya Uber kuingia Tanzania na Uganda
      • Maandamano ya kumpinga Rais joseph Kabila wa DRC
      • Shirikisho a Soka Tanzana (TFF), limetangaza kutoa...
      • Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limemteua ...
      • Serikali imewapa miezi miwili wananchi waishio kat...
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa :amesema kupambana n...
      • Mkutano wa makandarasi jijini Dar es salaam
      • Serengeti boys wamaliza nafasi ya tatu Goa Nchini ...
      • Hukumu ya kesi la shambulio Al-Shabab Uganda
      • Bei ya mafuta yapanda na kupita dola 50 kwa pipa
      • Mugabe asema haondoki madarakani
      • Magazeti ya leo Alhamisi Mei 26 216
      • Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Peter Pinda ameteuliwa...
      • Paul Scholes:Mourinho ndio dawa ya man united
      • Kanali Mstaafu wa Jeshi auawa Burundi
      • Upinzani wasitisha maandamano Kenya
      • Makamu wa Rais Mhe.Samia akutana na balozi wa oman...
      • Tanesco yahimiza wateja wake kuunganishiwa umeme n...
      • Prof.Mbarawa afungua kikao cha mpango kazi
      • Makapuni 52 yajitokeza kuwekeza sekta ya umeme
      • Geneva:Tanzania imefanikiwa kupunguza vifo
      • Taliban wamteua Kiongozi Mpya
      • Wema Sepetu anaumia kukosa mtoto
      • Ibrahimovic kutua Man u
      • Ronaldo awa gumzo Paris Saint -Germain
      • Magazeti ya leo Jumatano Mei 25 2016
      • Sheria mpya ya ushirika yawanufaisha wakulima wa t...
      • Zito Kabwe ameachana na ukapera
      • Wamiliki wa silaha watakiwa kuhakiki silaha zao ka...
      • Mourinho kutua Man u
      • Mipira ya kondomu yatolewa bure mitaani Rwanda
      • Helikopta na malori ya Urusi yateketea kwa moto Syria
      • Leicester city kumuuza Jamie Vardy kwa paundi mili...
    • ►  April (345)
    • ►  March (220)
    • ►  February (171)
    • ►  January (112)
  • ►  2015 (288)
    • ►  December (99)
    • ►  October (6)
    • ►  September (6)
    • ►  August (13)
    • ►  July (21)
    • ►  June (23)
    • ►  May (61)
    • ►  April (51)
    • ►  February (8)
  • ►  2014 (23)
    • ►  December (18)
    • ►  August (5)

SOMA KWA LUGHA YAKO

linki zetu

  • GREEN IRRITECH
  • MAGEZI FARMING ESTATE

TOA ODA YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

BAJETI ZA WIZARA 2015/2016

  • ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • BAJETI MNRT
  • HOTUBA YA BAJETI-KILIMO

kilimo

kilimo
Soma vitabu vya uifadhi na usindikaji wa mazao ya chakula
protected by fofammedia.2016 All right reserved. Watermark theme. Powered by Blogger.