
Mama wa nyimbo ya ndi ndi ndi ambayo inafanya vizuri katika Vituo Mbalimbali vya Redio Stesheni
Amezungumzia Suala linalomsibu Msanii wa kike aliyefanya Vizuri Ray Rehema Chalamila kipindi Ambapo amesema anahitaji Marafiki Sahihi kwa kipindi hiki
Ray c ambaye amejihusisha na Madawa ya kulevya awali Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya nne kumsaidia kwa kumpatia Tiba
No comments:
Post a Comment