
Mwanamme huyo wa umri wa miaka 20 alijeruhiwa vibaya baada ya kuingia kwenye hifadhi hiyo ya simba na kuanza kuwachokoza simba akitaka wamshambulie.
Walinzi wa hifadhi walijibu kwa kuwafyatulia risasi simba hao walipoanza kumshambulia na kuwaua wote wawili.
No comments:
Post a Comment