Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Balozi wa Brazil katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Carlos Alfonso lglesias Puente alipofika Ikulu Mjini Unguja leo.
Rais wa
Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Balozi wa Brazil katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Carlos Alfonso lglesias Puente alipofika Ikulu Mjini Unguja leo
,[Picha na Ikulu,] 14/03/2017.
No comments:
Post a Comment