Wednesday, 11 January 2017

Ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Zanzibar

bil1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary wakizungumza  na  Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilali wakati walipokwenda nyumbani kwake eneo la Mbweni , Zanzibar januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil2
 Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa na Mkewe Mary  wakisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin  Amour wakati walipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kilimani, Zanzibar Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil3
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akizungumza na  Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kilimani, Zanzibar Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil4
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary  (watatu kushoto)  wakizungumza na Makamu wa Rais Mstafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  na wake zake, Mama Zakia Biala (kushoto) na  Mama  Asha Bilal wakati walipowatembelea  nyumbani kwao eneo la  Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil5
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary  (wapili kulia)  wakiagana  na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  na wake zake, Mama Zakia Biala (wapili kushoto) na  Asha Bilal  (watatu kulia) wakati walipowatembelea  nyumbani kwao eneo la  Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil6
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin  Amour wakati alipomtembelea nyumbani kwake eneo la Kilimani, Zanzibar Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil7
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary  Majaliwa  akizungumza na  wake za  Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, Zakia  (kushoto na Asha (katikati)  wakati yeye na  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa walipoitembelea familia ya  Dkt. Bilal , eneo la Mbweni Zanzibar, Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil8
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Makamu  wa Rais Mstaafu, Dkt.  Mohammed Gharib Bilal  wakati alipomtembelea  nyumbani kwake eneo la Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil9
 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa (kulia) akizungumza na  Mama Azza Salmin, Mke wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour wakati yeye na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa walipoitembelea familia hiyo eneo la Kilimani Zanzibar Januari  10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil10
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  na mkewe Mary  (wapili kulia)  wakiagana  na Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal  na wake zake, Mama Zakia Biala (wapili kushoto) na  Asha Bilal  (watatu kulia) wakati walipowatembelea  nyumbani kwao eneo la  Mbweni, Zanzibar Januari 10, 2017. (picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
bil11
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe  Mary wakizungumza na watoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour, Yussuf (kushoto) na Amour wakati  alipomtembelea Rais huyo Mstaafu na familia yake eneo la Kilimani Zanzibar,  Januari  10, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment