
Mshambuliaji mkongwe wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic amefungiwa mechi tatu ikiwemo dhidi ya Chelsea katika Kombe la FA.
FA imemfungia Zlatan baada ya kubainika alimtwanga “kipepsi” beki Tyrone Mings wa Bournemouth.

Beki huyo anatarajia pia kupewa adhabu kali zaidi kwa kumkanyaga Zlatan kichwani kwa makusudi.
No comments:
Post a Comment