Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akimjulia hali Sophia Mgeni ambaye ametoka kujifungua mtoto wa kike
Waziri mkuu alitembelea Zahanati ya Madaba iliyopo wilaya ya Songea
ilikuweza kuwasikiliza wagonjwa katika zahanati hiyo Waziri mkuu yupo
Mkoani Ruvuma kwa ziara ya kukagua shughuli za maendeleo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
akizungumza na wauguzi wa zahanati ya Madaba amewataka waendele na moyo
waliokuwa nao wakuwapenda wagonjwa na kuwahudimia kwani serekali
inatambua mchango wao wanaoutoa kwa taifa
Waziri Mkuu Mkuu Kassim Majaliwa
akiwahutubia wananchi wa madaba amabao waliojitokeza jitokeza kwawingi
amabapo waziri mkuu alitumia nafasi hiyo yakuwaelezea juhudi za serekali
za kuwasaidia wananchi katika sekta mbali mbali ikiwemo Huduma ya bima
ya afya Waziri mkuu yupo mkoani Ruvuma kwa ziara ya kikazi
No comments:
Post a Comment