
Wakati wanakimbilia kwenye gari lao Toyota Harrier lililokuwa kwenye Parking, wakakamatwa palepale!Majambazi walikuwa wanamlaghai mzee mmoja hivi ambaye alikutwa eneo tofauti na hapo Bigbon waliponaswa walihitaji hela.....ndio akawapeleka hadi bank kuwazuga ili akutane na Polisi.
Sio kuwa walitoka na mfuko wa hela, ila sasa wanashikiliwa na Polisi pia wapo katika Kituo cha Polisi Mabatini.
No comments:
Post a Comment