Monday, 13 March 2017

Mafuriko Dar

Mvua kubwa bado inaendelea kunyesha katka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam na imekua ikisababisha mafuriko na hata foleni za barabarani ikiwemo kuchelewa kazini na hofu zaidi kwa wazazi wenye watoto wadogo wanaokwenda shuleni wenyewe.

No comments:

Post a Comment