
Bwaba Netanyahu amehojiwa mara mbili na polisi.
Awali Netanyahu alisema kuwa madai hayo hayana msingi wowote.
Gazeti la Haaretz hata hivyo limechapisha madai kuwa sasa polisi wana kanda ya sauti ambapo bwana Netanyahu anaripotiwa kusikika akiongea kwa njia ya simu na mfanyabiashara mmoja.
Hata hivyo madai hayo hayajathibitishwa rasmi.
No comments:
Post a Comment