Tuesday, 10 January 2017

Fid Q ampa makavu shabiki baada ya kuitwa ‘Mungu wa hip hop’

 Msanii wa muziki wa hip hop kutoka Mwanza, Fid Q amemtolea uvivu mmoja kati ya mashabiki wake wa damu katika mtandao wa facebook baada ya kuitwa ‘Mungu wa hip hop’.
Rapper huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Sumu, alimwambia shabiki huyo kwamba yeye hapaswi kuitwa Mungu kwani Mungu ni mmoja na anategemewa na watu wote.
Fid Q ni mmoja kati ya wasanii wa hip hop ambao wanakubalika na mashabiki wengi wa muziki huo nchini Tanzania


No comments:

Post a Comment