Thursday, 10 November 2016

Habari Picha

ne1
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisaini kitabu cha maombolezo ya kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta nyumbani kwa marehemu jijini Dar es Salaam leo.Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam leo ukitokea nchini Ujerumani.
ne2
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimia na mmoja wa watoto wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri Marehemu Samuel Sitta baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu kutoa pole ya msiba huo.
ne3
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.
ne4
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na mmoja wa waombolezaji wa msiba wa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta
ne5
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhani akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa Tabora Mjini Ismail Aden Rage alipokwenda kutoa pole nyumbani kwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri, Marehemu Samuel Sitta.
Picha na Hussein Makame, NEC

No comments:

Post a Comment