fofam-media

ad

ad

Pages

  • MWANZO
  • HOTELI NA UTALII
  • ELIMU
  • MICHEZO
  • BURUDANI
  • MAZINGIRA
  • KILIMO
  • KUHUSU SISI
  • WASILIANA NASI

Thursday, 31 March 2016

'Walazimishwa Kujenga' Uwanja wa kombe la Dunia Qatar


 

Kundi la Haki za kibinadamu Amnesty International limeishtumu Qatar kwa kuwafanyisha watu kazi kwa lazima katika uwanja utakaochezewa Mechi ya Ufunguzi wa Michuano ya Kombe la Dunia 2022.

Amnesty linasema kuwa wafanyikazi katika uwanja wa Khalifa Wanalazimishwa kuishi katika Mazingira Machafu, Wanalipa fedha Nyingi ili kuajiriwa huku Baadhi ya Mishahara yao ikizuiliwa na kupokonywa Pasipoti zao.



 


  Uwanja wa Kombe la dunia nchini Qatar
Pia imelishtumu Shirikisho la soka Duniani Fifa kwa kushindwa kuzuia Dimba hilo linaloandaliwa Chini ya Unyanyasaji wa haki za kibinadamu.

Qatar imesema kuwa ina wasiwasi kuhusu madai hayo na kwamba itayachunguza.
Serikali ilisema kuwa maslahi ya wafanyikazi wahamiaji yanapewa kipaumbele na kusisitiza kuhusu Marekebisho ya sheria za kazi nchini humo.


 

Uwanja wa kombe la Dunia Qatar
Mwaka uliopita Taifa hilo liliahidi kufanyia Marekebisho Mfumo wa ''Kafala'' ambao Huwazuia Wafanyikazi Wahamiaji kubadilisha kazi ama Hata kuwacha kazi bila idhini ya mwajiri wao.

Lakini Amnesti imeonya kwamba marekebisho hayo Hayataleta Tofauti yoyote na kusema kwamba Baadhi Ya Wafanyakazi ''Wanakabiliwa na wakati mgumu''.
Posted by FOFAM MEDIA at 06:55
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Search This Blog

My Blog List

adv

adv
HARBOUR VIEW

MEZANI

MEZANI
UKABILA NI DHAMBI YA UBINAFSI

KULA DONA KWA AFYA YA MWILI WAKO

KULA DONA KWA AFYA YA MWILI WAKO
NAMBA YA SIMU 0784300020

food reserve

food reserve
national food reserve agency

kalonga kasati Blogger

kalonga kasati Blogger
0718684043 Email.kalongakasati@gmail.com

EQUITY BANK

EQUITY BANK
HATUMI BANDO

ungana nasi kwenye facebook

  • FOFAM FASHION
  • FOFAM CONSULTING
  • FOFAM AGRIOROJETS INITIATIVE
  • FOFAM FOOD LOGIC
  • FOFAM MEDIA

Je, wajua.......?

  • ... kwamba McDonald Mariga ni mchezaji wa mpira kutoka Kenya ambaye anaichezea kilabu cha Parma.
  • ... kwamba Ngorongoro imepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO?

AGITF

AGITF
AGITF

library

library

TAFUTA BLOG HII

WALIOTEMBELEA

Followers

MACHAPISHO MAPYA


Recent Posts Widget

YALIYOSOMWA ZAIDI

  • Madhara ya kula Mayai mabichi
      Mayai ni moja ya vyakula vyenye viini lishe muhimu kwa ajili ya afya ya mwili wa binadamu. Kwa kawaida mayai kabla ya kuliwa, huandali...
  • Jinsi ya kuandika barua ya kuomba kazi
    Je ulishawahi kuandika barua ya maombi ya kazi na kutuma kwa waajiri wengi na wote au wengi ya hao hawakukujibu hata kama unaj...
  • Huzuni zatawala Mazishi ya Kinyambe Mkoani Mbeya
    Jeneza likiwa limebeba mwili James Kinyambe maarufu kama Kinyambe aliyefariki jana Mkoani mbeya 
  • Ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Mkoani Njombe
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa mpira wa shule ya sekondari ya Mpechi mjini Njombe Januari ...
  • Wanafunzi wa Lucky Vincent Nursery na primary school 32 wapoteza Maisha ajali ya costa wilayani Karatu
      Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha  katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.   kuwa basi hilo lilikuwa...

MAKTABA YETU

  • ►  2018 (3)
    • ►  April (3)
  • ►  2017 (3012)
    • ►  December (134)
    • ►  November (191)
    • ►  October (227)
    • ►  September (307)
    • ►  August (287)
    • ►  July (269)
    • ►  June (275)
    • ►  May (206)
    • ►  April (247)
    • ►  March (303)
    • ►  February (263)
    • ►  January (303)
  • ▼  2016 (3981)
    • ►  December (336)
    • ►  November (353)
    • ►  October (366)
    • ►  September (417)
    • ►  August (447)
    • ►  July (413)
    • ►  June (376)
    • ►  May (425)
    • ►  April (345)
    • ▼  March (220)
      • Utukufu na Heshima
      • Hotuba ya Rais Kenyatta Yavurugwa
      • Hodgson Asikitishwa na Wachezaji Wake
      • 'Walazimishwa Kujenga' Uwanja wa kombe la Dunia Qatar
      • Gary Neville afutwa kazi Valencia
      • TRA Yakamata Magari Matano ya TFF Kutokana na Mali...
      • Wabunge Watatu Wafikishwa Mahakamani Kwa Tuhuma za...
      • Vikundi vya Ujasiliamali Mkuranga Vyashauriwa kuwa...
      • Marekani Yalalamikia UN kuhusu Iran
      • Mkufunzi wa Aston Villa aondoka Baada ya Siku 147
      • Millioni 37 Zatengwa Kukarabati Barabara ya kata y...
      • Ubalozi wa India Nchini Waadhimisha ITEC Day
      • Naibu Waziri wa Mambo ya ndani Mhandisi Hamad Masa...
      • Wananchi Wa Chato Wajitokeza Kwa Wingi Kumlaki Rai...
      • Waliokata Tiketi Kurudishiwa Fedha Zao
      • TANESCO Mkoani Pwani Yawanasa Wezi Saba kwa Tuhuma...
      • Sumatra kwa kushirikiana na Jeshi la polisi kikosi...
      • Serengeti Boys Kujipima na Misri
      • Mada Maugo apigwa T.K.O ya Raundi Ya Tatu Wenzake ...
      • Tamasha la Pasaka limewakonga Nyoyo Mashabiki wa M...
      • Rais Dkt John Pombe Magufuli amwapisha Mkuu wa Mko...
      • Rais John Magufuli apokea Taarifa ya Ukaguzi wa He...
      • Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya March 28
      • Mkuu wa Wilaya ya Geita awataka Wananchi wa Mkoa w...
      • Mwadui yatinga Nusu Fainali kombe la Shirikisho
      • Wafanyakazi wa TBL Arusha Washiriki Uzinduzi wa ka...
      • Serikali ya Tanzania Haina Mpango kwa kuteketeza M...
      • Mkuu wa Mkoa wa Arusha Adai Yeye Ndo Mwanzilishi w...
      • Tumbili 61 Waliokamatwa Uwanja wa Ndege Lachukua S...
      • Taarabu Rasmi ya kumpongeza Dk Ali Mohamed Sheins
      • Mufti wa Tanzania amuombea Dua Mkuu wa Dar es sala...
      • Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo Stephan P Masat...
      • Naibu Waziri wa fedha na Mipango ashuhudia Kuorodh...
      • Wagombea Uspika wa Bunge la Wawakilishi Zanzibar W...
      • Mkurugenzi Mkuu wa NSSF atembelea Daraja la Kigam...
      • Zaidi ya Watu 150 Wamejitokeza kuhakiki Silaha Zao
      • Mabadiliko ya Ratiba Shughuli Za kamati za Bunge
      • Magazeti Ya Leo Ijumaa ya March 25
      • TRL kusafirisha Saruji Ya Tanga Kwa Njia Ya Reli
      • Basata Yaonya Kumbi Zisizofuata Taratibu za Vibali...
      • Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi H...
      • Ritha Kabati Ccm Kutoka Mkoa wa Iringa arudi Bungeni
      • Taifa stars kuwasili Dar leo Usiku
      • Vituo Binafsi Vya Kutoa Huduma za Afya Vyashauriwa...
      • Mshana awaaga wafanyakazi wa TBC na kumkaribisha m...
      • Jeshi la Polisi latadhalisha Kuhusu Usalama katika...
      • Sherehe ya Kuapishwa Rais Mteule wa Zanzibar Dkt A...
      • Tanzania na Saudi arabia Zimesaini mkataba wa Ushi...
      • Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya March 24
      • Waziri Ummy azungumza na Viongozi na Baadhi ya Waz...
      • TASAF Yatoa Milioni 137.8 kwa kaya Masikini 57 Ser...
      • TRA na JICA kutoa Mafunzo ya Ukusanyaji Kodi awamu...
      • TCRA yawataka Wananchi kutoa Malamiko sehemu Husika
      • Magazeti Ya Leo Jumatano ya March 23
      • Ukawa Washinda Umeya wa Jiji la Dar es Salaam Wam...
      • Hussein Bashe Amejiuzulu Ujumbe wa kamati ya Bunge
      • Naibu Spika wa Bunge amehudhuria Vikao vya kamati ...
      • Waziri Nape kurejesha Hadhi ya Muziki wa Dansi nchini
      • Watumishi Halmashauri ya Temeke Waagizwa Warudi ku...
      • March 24 Mwisho Wa kuhakiki Watumishi Ilala
      • Daraja la Kigamboni kufunguliwa Rasmi Aprili.
      • Soko la Feri limetakiwa Kutafuta Gesi ya Bei Nafuu
      • Spika wa Bunge Ndugai amefanya Mabadiliko ya Baadh...
      • Magazeti Ya Leo Jumanne ya March 22
      • Msafara wa Waziri suleiman Jafo Umepata ajali Baga...
      • Tume Yakutana na Wadau kupitia Mapendekezo ya Sher...
      • Mbunge wa Jimbo la Kibiti awavalia Njuga Watumishi...
      • Dk ali Mohamed Shein ameshinda Uchaguzi Zanzibar
      • Rais Dkt John Pombe Magufuli atekeleza agizo la Mk...
      • Kichawa yazindua Mfumo Shirikishi kwa Bodaboda
      • Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya March 21
      • Uchaguzi Zanzibar : Mgombea Urais wa CCM Dr. Shein...
      • Magazeti Ya Leo Jumapili Ya March 20
      • Kamati ya Bunge ya Ardhi Maliasili na Utalii Yatem...
      • Uteuzi wa Wakurugenzi
      • Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Haitambui kujitoa ...
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefungua Duka la MSD ...
      • Magazeti Ya Leo Jumamosi Ya March 19
      • TASAF Yapatiwa Dola Milioni 665 kunusuru kaya Masi...
      • Twiga stars imekwenda Zimbabwe leo
      • Balozi wa China amefanya Mazungumzo na Waziri wa O...
      • Na Kalonga Kasati Shirikisho la Mpira wa...
      • CAF
      • Waziri Mkuu Kuwa mgeni Rasmi Harambee ya Shule ya ...
      • Rais Magufuli Akabidhi Gari La Kubebea Wagonjwa Ho...
      • Magazeti Ya Leo Ijumaa ya March 18
      • Umoja wa Rufaa za Wananchi Tanzania Wawaomba Wazan...
      • Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha Kazi Ma...
      • Jaji mkuu Zanzibar amesema Uchaguzi wa Marudio Zan...
      • Asdimamishwa kwa kumdanganya Waziri mkuu Kassim Ma...
      • Ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa-Chato
      • Maafisa Habari na Mawasiliano Serikalini Wamegawa ...
      • Naibu Waziri Wa Mambo Ya ndani Hamad Masauni
      • BMT Kuanzisha Semina Ya Wadhamini
      • Magazeti Ya Leo Alhamisi Ya March 17
      • Majaliwa Amtumbua JIPU Mhandisi wa Maji Nyumbani K...
      • Taarifa ya Wizara kuhusu filamu iliyompatia tuzo E...
      • RC Makonda atoa Masaa 24 Kwa Wakuu wa Idara Kumpa ...
      • Semina ya Siku ya Haki za Watumiaji wa Huduma Ulim...
      • Ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ngara
    • ►  February (171)
    • ►  January (112)
  • ►  2015 (288)
    • ►  December (99)
    • ►  October (6)
    • ►  September (6)
    • ►  August (13)
    • ►  July (21)
    • ►  June (23)
    • ►  May (61)
    • ►  April (51)
    • ►  February (8)
  • ►  2014 (23)
    • ►  December (18)
    • ►  August (5)

SOMA KWA LUGHA YAKO

linki zetu

  • GREEN IRRITECH
  • MAGEZI FARMING ESTATE

TOA ODA YAKO HAPA

Name

Email *

Message *

BAJETI ZA WIZARA 2015/2016

  • ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
  • BAJETI MNRT
  • HOTUBA YA BAJETI-KILIMO

kilimo

kilimo
Soma vitabu vya uifadhi na usindikaji wa mazao ya chakula
protected by fofammedia.2016 All right reserved. Watermark theme. Powered by Blogger.