Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni,
akisalimiana na viongozi wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza mara baada ya
kuwasili jijini hapo jana akitokea mkoani Kagera kwa ziara ya kikazi.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni
akisaini katika kitabu mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya Jeshi la
Polisi jijini Mwanza,mara baada ya kuwasili jijini hapo jana akitokea
Kagera kwa ziara ya kikazi.
Kaimu
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza,ACP Japhet Lusingu(kushoto), akitoa
taarifa ya hali ya usalama katika mkoa wa Mwanza kwa Naibu Waziri wa
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni(katikati) mara
baada ya Naibu Waziri kuwasili jijini Mwanza jana akitokea mkoani Kagera
kwa ziara ya kikazi.Kulia ni Mkuu wa Upelelezi na Makosa ya Jinai mkoa
wa Mwanza,SSP Augustine Senga.
Naibu
Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni,
akizungumza na baadhi ya viongozi wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza mara
baada ya kuwasili jijini hapo jana akitokea Kagera kwa ziara ya kikazi.
No comments:
Post a Comment