Hotuba ya Taifa ya Rais wa kenya Uhuru Kenyatta, imetatizwa kwa Muda Bungeni Baada ya Wabuge kadha Wa Upinzani kupuliza filimbi.
Wabunge Hao Walianza kupuliza filimbi na kuvuruga Hotuba ya Rais Punde tu alipoanza kuitoa.
Hata hivyo Utulivu Ulirejea Baada ya Spika kuwatupa nje wabunge Waliokua wakizipuliza hizo filimbi, na Rais Akaendelea kutoa Hotuba Yake kwa Taifa.
No comments:
Post a Comment