
Mwanasheria wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi(NEC) Selemani Mtibora akiwasilisha mada kwenye mkutano wa
Majadiliano kuhusu Mchakato wa Uchaguzi na Sheria za Uchaguzi
uliofanyika jijini Dar es Salaam.Kulia ni Mwakilishi wa Ofisi ya Msajili
wa Vyama vya Siasa Nchini Esther Mwanri na Mwenyekiti wa Asasi ya
Tanzania Youth Vission Association (TYVA)Makwita Suleiman.




No comments:
Post a Comment