Friday 27 October 2017

Watu wanne wafariki kutokana na mvua ya jana

 Image result for lazaro mambosasa
  Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema watu wanne wamekufa kufuatia mvua iliyonyesha jana Alhamisi.
"Jana tulipokea taarifa za watu wawili leo Ijumaa asubuhi tumepokea taarifa za watu wawili tena hivyo mpaka sasa tuna idadi ya watu wanne," amesema.
Amesema bado wa naendelea kukusanya taarifa.

No comments:

Post a Comment