Wednesday 18 October 2017

Mayanja achia ngazi Simba

 Image result for Jackson Mayanja
Kocha Jackson Mayanja ameamua kuachana na klabu ya Simba nrejea kwao Uganda.
Mayanja ambaye bado yuko jijini Dar es Salaam, ameamua kuachana na Simba akidai ana matatizo yake binafsi.

“Ni matatizo ya kifamilia lakini suala hilo siwezi kulizungumzia kwa sasa,” alisema.

Lakini habari kutoka Simba zimeeleza kuwa sasa wako katika hatua za mwisho kuvunja mkataba wake baada ya kukubaliana naye kutokana na uamuzi wake huo.

No comments:

Post a Comment