
Wakazi wa eneo hilo

Zimamoto wakiwa eneo la tukio

Wakazi wa eneo hilo wakiwa katika taharuki
Moto huo ulianza katika nyumba moja na baada ya kupamba zaidi ukaamia kwenye nyumba ya pili.
Mpaka sasa zimamoto wanaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.
Chanzo cha moto bado hakijajulika.
Tutazidi kuwajulisha kadri tutakavyopata taarifa.
No comments:
Post a Comment