
Rais Dk John Magufuli leo amemteua Doto James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango na ‘kumtema’ Dk Servacius Likwelile ambaye atapangiwa kazi nyingine..
Kabla ya uteuzi huo Doto alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango (Sera).
No comments:
Post a Comment