
Sam Allardyce amesaini mkataba wa miaka miwili na nusu, Big Sam ambaye aliingia matatani na chama cha soka nchini Uingereza (FA) na kutumuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Uingereza, baada ya kuwaeleza waandishi wa habari wa gazeti la Daily Telegraph waliojifanya wafanyabiashara kuwa ni rahisi kuizunguka sheria ya chama cha soka nchini Uingereza (FA).
No comments:
Post a Comment