
Waziri huyo kivuli alitaka kufahamu kwamba ni sababu gani dawa zinazotolewa kama msaada huwa zimekwisha muda wa matumizi.
“Nikuambie tu ukweli hivi sasa hatupokei misaada ya dawa ambazo zinakaribia kuisha muda wa matumizi na hatupokei aina ya dawa ambazo tunazo katika stoo,” amesema Ummy
Pia amesema bajeti ya dawa imeongezwa kutoka Sh.30 bilioni mwaka 2015 hadi Sh.261 bilioni mwaka 2017.
No comments:
Post a Comment