
Magari yakipita katika makutano ya barabara za Morogoro na bibi titi Dar es Salaam baada ya mvua iliyonyesha kwa saa mbili jana
![]() |
Mshambuliaji wa Barcelona,Lionel Messi (katikati) akiwakimbiza wachezaji wa Chelsea wakati wa mechi ya nusu fainali kwenye michuano ya Klabu Bingwa Ulaya,Aprili mwaka huu. |